Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+

      Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,

      Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+

       4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

      Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

      Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

      Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

  • Mathayo 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hataponda tete lililovunjika, wala hatazima utambi unaofifia,+ hadi atakapofanikiwa kuleta haki.

  • Yohana 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Siwezi kufanya jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe. Kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu yangu ni ya uadilifu+ kwa sababu sitafuti mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+

  • Ufunuo 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki