Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaiharibu milima na vilima

      Na kukausha kabisa majani yake yote.

      Nitaibadili mito iwe visiwa*

      Na kuyakausha kabisa madimbwi ya maji yenye matete.+

  • Yeremia 50:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kuna uharibifu dhidi ya maji yake, nayo yatakaushwa.+

      Kwa maana ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+

      Na kwa sababu ya maono yao yanayotisha wanaendelea kutenda kiwazimu.

  • Ufunuo 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki