Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ninayeviambia vilindi vya maji, ‘Kauka,

      Nami nitaikausha mito yako yote’;+

  • Yeremia 51:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:

      “Ninaitetea kesi yako,+

      Nami nitakulipizia kisasi.+

      Nitaikausha bahari yake na kuvikausha visima vyake.+

      37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+

      Pango la mbwamwitu,+

      Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,

      Bila mkaaji.+

  • Ufunuo 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki