Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Yehova, aliyemkomboa Abrahamu,+ anaiambia hivi nyumba ya Yakobo:

      “Yakobo hataona aibu tena,

      Na uso wake hautabadilika rangi tena.*+

  • Isaya 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa;+

      Usifedheheke, kwa maana hutakatishwa tamaa.

      Kwa maana utaisahau aibu ya ujana wako,

      Nawe hutaikumbuka tena fedheha ya ujane wako.”

  • Yoeli 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hakika mtakula na kutosheka,+

      Nanyi mtalisifu jina la Yehova Mungu wenu,+

      Ambaye ametenda mambo yenye kustaajabisha kwa niaba yenu;

      Watu wangu hawataaibishwa tena kamwe.+

  • Sefania 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo hamtaaibishwa

      Kwa sababu ya matendo yenu yote ya uasi mliyonitendea,+

      Kwa maana wakati huo nitawaondoa kati yenu watu wenye kiburi wanaojigamba;

      Nanyi hamtakuwa tena na kiburi katika mlima wangu mtakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki