45 Hivi ndivyo Yehova anavyomwambia mtiwa-mafuta wake, Koreshi,+
Ambaye nimeushika mkono wake wa kulia+
Ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+
Kuwanyang’anya silaha wafalme,
Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,
Hivi kwamba malango hayatafungwa: