Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni nani amemwinua mtu kutoka mashariki,*+

      Akimwita katika uadilifu aje miguuni Pake,*

      Ili amkabidhi mataifa

      Na kumfanya awatiishe wafalme?+

      Ambaye anawafanya wawe mavumbi mbele ya upanga wake,

      Kama majani makavu yanayopeperushwa na upepo mbele ya upinde wake?

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hivi ndivyo Yehova anavyomwambia mtiwa-mafuta wake, Koreshi,+

      Ambaye nimeushika mkono wake wa kulia+

      Ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+

      Kuwanyang’anya silaha* wafalme,

      Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,

      Hivi kwamba malango hayatafungwa:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki