Isaya 44:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’ Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+ Isaya 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ninamwita kutoka mashariki* ndege anayewinda,+Kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza uamuzi* wangu.+ Nimesema, nami nitalitimiza. Nimekusudia, nami pia nitalitekeleza.+ Ufunuo 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*
28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’ Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+
11 Ninamwita kutoka mashariki* ndege anayewinda,+Kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza uamuzi* wangu.+ Nimesema, nami nitalitimiza. Nimekusudia, nami pia nitalitekeleza.+
12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*