Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wangu unakaribia.+ Wokovu wangu utatoka,+Na mikono yangu itayahukumu mataifa.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+Navyo vitaungojea mkono wangu.* Isaya 62:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Yehova ametangaza mpaka kwenye miisho ya dunia: “Mwambieni binti ya Sayuni,‘Tazama! Wokovu wako unakuja.+ Tazama! Anakuja na thawabu yake,Na malipo anayotoa yako mbele zake.’”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
5 Uadilifu wangu unakaribia.+ Wokovu wangu utatoka,+Na mikono yangu itayahukumu mataifa.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+Navyo vitaungojea mkono wangu.*
11 Tazama! Yehova ametangaza mpaka kwenye miisho ya dunia: “Mwambieni binti ya Sayuni,‘Tazama! Wokovu wako unakuja.+ Tazama! Anakuja na thawabu yake,Na malipo anayotoa yako mbele zake.’”+