Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu. Waroma 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wafikirieni wengine kama mnavyojifikiria; msikazie akili zenu kwenye mambo makuu,* bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe.+
16 Wafikirieni wengine kama mnavyojifikiria; msikazie akili zenu kwenye mambo makuu,* bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe.+