-
Luka 22:24-26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Hata hivyo, pia kukatokea bishano kali kuhusu ni nani aliyekuwa mkuu zaidi kati yao.+ 25 Lakini akawaambia: “Wafalme wa mataifa hupiga ubwana juu yao, na wale walio na mamlaka juu yao huitwa Wafadhili.+ 26 Hata hivyo, ninyi hampaswi kuwa hivyo.+ Lakini yule aliye mkuu zaidi kati yenu anapaswa kuwa mdogo zaidi,+ na yule anayeongoza awe kama anayehudumu.
-