Ayubu 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo watu wanapaswa kumwogopa.+ Kwa sababu yeye hampendi yeyote anayefikiri ana hekima.”+ Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu.