25 Ndipo Yesu akasema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu nawe umeyafunua kwa watoto wadogo.+
16 Wafikirieni wengine kama mnavyojifikiria; msikazie akili zenu kwenye mambo makuu,* bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe.+
26 Kwa maana akina ndugu, mnaona mwito wake kwenu, kwamba si wengi wenye hekima kwa njia ya kimwili,*+ si wengi wenye nguvu, si wengi wa kutoka familia mashuhuri,+