Isaya 60:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+ Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Zekaria 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”
14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+
33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
8 Nami nitawaleta ndani, nao wataishi Yerusalemu;+ watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao+ katika ukweli* na katika uadilifu.’”