Isaya 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+ Ezekieli 39:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba watu wa nyumba ya Israeli walipelekwa uhamishoni kwa sababu ya kosa lao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu.+ Basi niliwaficha uso wangu+ na kuwatia mikononi mwa maadui wao,+ na wote wakauawa kwa upanga.
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+
23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba watu wa nyumba ya Israeli walipelekwa uhamishoni kwa sababu ya kosa lao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu.+ Basi niliwaficha uso wangu+ na kuwatia mikononi mwa maadui wao,+ na wote wakauawa kwa upanga.