Mwanzo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+ Yohana 1:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Hapo mwanzo Neno alikuwako,+ naye Neno alikuwa pamoja na Mungu,+ na Neno alikuwa mungu.*+ 2 Mwanzoni yeye alikuwa pamoja na Mungu. Yohana 12:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Isaya alisema mambo haya kwa sababu aliona utukufu wake, naye alisema kumhusu.+
26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+
1 Hapo mwanzo Neno alikuwako,+ naye Neno alikuwa pamoja na Mungu,+ na Neno alikuwa mungu.*+ 2 Mwanzoni yeye alikuwa pamoja na Mungu.