-
Ezekieli 5:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Huyu ni Yerusalemu. Nimemweka katikati ya mataifa, na nchi zinamzunguka pande zote. 6 Lakini aliasi sheria zangu* na amri zangu, akatenda uovu zaidi kuliko mataifa na nchi zinazomzunguka pande zote.+ Kwa maana wamekataa sheria zangu, nao hawakutembea katika amri zangu.’
-