Ezra 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya yote yaliyotupata kwa sababu ya matendo yetu maovu na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, hujatutendea kulingana na makosa yetu,+ nawe umeruhusu sisi tulio hapa tuponyoke+— Nehemia 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+ Danieli 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 tumetenda dhambi na tumekosea na tumetenda uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka na kuacha amri zako na sheria* zako.
13 Baada ya yote yaliyotupata kwa sababu ya matendo yetu maovu na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, hujatutendea kulingana na makosa yetu,+ nawe umeruhusu sisi tulio hapa tuponyoke+—
33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+
5 tumetenda dhambi na tumekosea na tumetenda uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka na kuacha amri zako na sheria* zako.