Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+ 7 Tangu siku za mababu zetu mpaka leo hii tumekuwa na hatia kubwa;+ na kwa sababu ya makosa yetu, sisi, wafalme wetu, na makuhani wetu, tumetiwa mikononi mwa wafalme wa nchi nyingine, tumeuawa kwa upanga,+ tumepelekwa utekwani,+ tumeporwa,+ tumetiwa aibu, kama ilivyo leo.+

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, hawakutii, bali walikuasi+ na kuigeuzia mgongo Sheria yako.* Wakawaua manabii wako waliowaonya wakurudie, nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima.+

  • Nehemia 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+

  • Zaburi 106:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

      Tumetenda kosa; tumetenda uovu.+

  • Maombolezo 3:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “Tumetenda dhambi na kuasi,+ nawe hujatusamehe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki