Zaburi 82:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtaendelea mpaka lini kuhukumu bila haki+Na kuwapendelea waovu?+ (Sela) Habakuki 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo sheria haifanyi kazi,Na haki haitekelezwi kamwe. Kwa maana mwovu amemzingira mwadilifu;Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+
4 Kwa hiyo sheria haifanyi kazi,Na haki haitekelezwi kamwe. Kwa maana mwovu amemzingira mwadilifu;Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+