- 
	                        
            
            Yeremia 25:32, 33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        32 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Tazameni! Msiba unaenea kutoka taifa mpaka taifa,+ Na tufani kubwa itaachiliwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ 33 “‘Na wale ambao Yehova atawaua siku hiyo watatapakaa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia. Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa. Watakuwa kama mbolea juu ya ardhi.’ 
 
-