Yeremia 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:33 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 22
33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+