-
Kumbukumbu la Torati 31:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Sasa Yehova akamwambia Musa hivi: “Tazama! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho pamoja na miungu ya kigeni inayowazunguka katika nchi wanayoenda.+ Wataniacha na kuvunja agano langu+ ambalo nimefanya pamoja nao.+ 17 Wakati huo hasira yangu itawaka dhidi yao,+ nami nitawaacha+ na kuuficha uso wangu wasiuone+ mpaka watakapoangamia. Kisha baada ya kupatwa na misiba na mateso mengi,+ watasema, ‘Je, hatujapatwa na misiba hii kwa sababu Mungu wetu hayuko miongoni mwetu?’+
-
-
Mika 3:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Wakati huo watamlilia Yehova awasaidie,
Lakini hatawajibu.
-