Kumbukumbu la Torati 27:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Amelaaniwa mtu anayepotosha haki+ ya mkaaji mgeni, yatima, au mjane.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+
19 “‘Amelaaniwa mtu anayepotosha haki+ ya mkaaji mgeni, yatima, au mjane.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+