5 “Nitawakaribia ili niwahukumu, nami nitakuwa shahidi asiyesita dhidi ya walozi,+ dhidi ya wazinzi, dhidi ya watu wanaotoa viapo vya uwongo,+ dhidi ya wale wanaomlaghai kibarua,+ mjane, na yatima,+ na dhidi ya wale wanaokataa kumsaidia mgeni.+ Watu hao hawaniogopi,” asema Yehova wa majeshi.