2 Wafalme 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+ Isaya 37:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu+ mwenyeweNa kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+ 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
35 ‘Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu+ mwenyeweNa kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.’”+ 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+