Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Isingekuwa kwa sababu ya kuogopa jinsi maadui wangu watakavyotenda,+

      Kwa sababu huenda wapinzani wakalielewa vibaya jambo hilo.+

      Huenda wakasema: “Nguvu zetu zimeshinda;+

      Si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”

  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • 2 Wafalme 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitakuongezea miaka 15 ya kuishi,* nami nitakuokoa wewe na jiji hili kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru,+ nami nitalilinda jiji hili kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo, waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelichafua miongoni mwa mataifa ambako mlienda.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki