-
Yeremia 51:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova;
Aliilewesha dunia yote.
-
-
Danieli 5:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi alimpa baba yako Nebukadneza ufalme na ukuu na heshima na fahari.+ 19 Kwa sababu ya ukuu ambao Mungu alimpa, watu wa makabila yote, mataifa, na lugha walitetemeka kwa woga mbele yake.+ Yeyote ambaye mfalme alitaka kumuua, alimuua, yeyote aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai, yeyote aliyetaka kumkweza, alimkweza, na yeyote aliyetaka kumwaibisha, alimwaibisha.+
-