Isaya 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tangazo dhidi ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu linaloenda kwa kasi, naye anakuja Misri. Miungu ya ubatili ya Misri itatetemeka mbele zake,+Na moyo wa Misri utayeyuka ndani yake. Yeremia 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hili ndilo neno ambalo Yehova alimwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni kuishambulia nchi ya Misri:+
19 Tangazo dhidi ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu linaloenda kwa kasi, naye anakuja Misri. Miungu ya ubatili ya Misri itatetemeka mbele zake,+Na moyo wa Misri utayeyuka ndani yake.
13 Hili ndilo neno ambalo Yehova alimwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni kuishambulia nchi ya Misri:+