Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+
19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+
6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya duniaIli wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+