-
Mambo ya Walawi 26:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 mkikataa masharti yangu,+ mkichukia sheria zangu,* na kuvunja agano langu kwa kuacha kushika amri zangu zote,+ 16 basi, mimi nitawatendea mambo haya: nitawaadhibu kwa taabu, kwa kifua kikuu na homa kali, na kufanya macho yenu yadhoofike na uhai wenu uzorote.* Mtapanda mbegu zenu bure, kwa maana maadui wenu watazila.+
-