17 kwa sababu Mwanakondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+
4 Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao,+ na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”