2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Isaya 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Majiji yenye ngome yatatoweka Efraimu,+Na ufalme kutoka Damasko;+Na wale wanaobaki wa SiriaWatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,”* asema Yehova wa majeshi.
6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
3 Majiji yenye ngome yatatoweka Efraimu,+Na ufalme kutoka Damasko;+Na wale wanaobaki wa SiriaWatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,”* asema Yehova wa majeshi.