Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+

  • Isaya 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko,

      Na kichwa cha Damasko ni Resini.

      Katika muda wa miaka 65 tu

      Efraimu litavunjwa kabisa na halitakuwa taifa tena.+

  • Isaya 28:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ole kwa taji* la kujionyesha* la walevi wa Efraimu+

      Na ua linalonyauka la uzuri wake wenye utukufu,

      Lililo kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba la wale waliolemewa na divai!

       2 Tazama! Yehova ana mtu mwenye nguvu na hodari.

      Kama dhoruba ya mvua ya mawe yenye mngurumo, dhoruba ya upepo inayoharibu,

      Kama dhoruba yenye mngurumo ya mafuriko yenye nguvu,

      Atalitupa chini kwa nguvu duniani.

  • Hosea 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,

      Na kama simba mwenye nguvu* kwa nyumba ya Yuda.

      Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+

      Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki