Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wa mababu zao aliendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, aliwaonya tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

  • Isaya 8:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Atakuwa kama mahali patakatifu,

      Lakini kama jiwe la kujigonga juu yake

      Na kama mwamba wa kujikwaa juu yake+

      Kwa nyumba zote mbili za Israeli,

      Kama mtego na kama kitu kinachonasa

      Kwa wakaaji wa Yerusalemu.

      15 Wengi wao watajikwaa na kuanguka na kuvunjwa;

      Watanaswa na kukamatwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki