Isaya 30:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+