Isaya 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ninyi watu mnasema: “Tumefanya agano na Kifo,+Na tumefanya mapatano* na Kaburi.* Mafuriko makubwa ya ghafla yatakapopita,Hayatatufikia,Kwa maana tumeufanya uwongo kuwa kimbilio letuNasi tumejificha katika udanganyifu.”+
15 Kwa maana ninyi watu mnasema: “Tumefanya agano na Kifo,+Na tumefanya mapatano* na Kaburi.* Mafuriko makubwa ya ghafla yatakapopita,Hayatatufikia,Kwa maana tumeufanya uwongo kuwa kimbilio letuNasi tumejificha katika udanganyifu.”+