Isaya 41:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Nimekufanya uwe kifaa cha kupuria,+Kifaa kipya cha kupuria chenye meno yenye makali pande mbili. Utaikanyaga-kanyaga milima na kuipondapondaNa kuvifanya vilima viwe kama makapi. Amosi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+
15 “Tazama! Nimekufanya uwe kifaa cha kupuria,+Kifaa kipya cha kupuria chenye meno yenye makali pande mbili. Utaikanyaga-kanyaga milima na kuipondapondaNa kuvifanya vilima viwe kama makapi.
3 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+