Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+ Isaya 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nitainuka dhidi yao,”+ asema Yehova wa majeshi. “Nami nitafuta kabisa kutoka Babiloni jina na watu waliobaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova. Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+
19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+
22 “Nitainuka dhidi yao,”+ asema Yehova wa majeshi. “Nami nitafuta kabisa kutoka Babiloni jina na watu waliobaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.
9 Tazama kinachokuja: Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+