Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Isaya 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Nitainuka dhidi yao,”+ asema Yehova wa majeshi.

      “Nami nitafuta kabisa kutoka Babiloni jina na watu waliobaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.

  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazama kinachokuja:

      Wanaume wakiwa katika gari la vita na kundi la farasi wa vita!”+

      Kisha akasema:

      “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+

      Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunjavunja na kuziangusha chini!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki