10 Pia alipafanya Tofethi,+ palipokuwa katika Bonde la Wana wa Hinomu*+ pasifae kwa ibada, ili mtu yeyote asimteketeze* motoni mwana wake au binti yake kwa ajili ya Moleki.+
32 “‘Kwa hiyo tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati ambapo bonde hilo halitaitwa tena Tofethi au Bonde la Mwana wa Hinomu* bali Bonde la Mauaji. Watawazika wafu katika Tofethi hivi kwamba hakutakuwa na nafasi zaidi.+