Kumbukumbu la Torati 32:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyopaa juu ya makinda yake,Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,Akiwabeba juu ya mabawa yake,+12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake atakufunika,Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*
11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyopaa juu ya makinda yake,Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,Akiwabeba juu ya mabawa yake,+12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+
4 Kwa manyoya yake atakufunika,Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+ Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*