16 Siku hiyo jiji la Yerusalemu litaambiwa:
“Usiogope, Ee Sayuni.+
Usilegeze mikono yako.
17 Yehova Mungu wako yuko katikati yako.+
Akiwa Mwenye nguvu, ataokoa.
Atakushangilia kwa shangwe kubwa.+
Atakaa kimya katika upendo wake.
Atakushangilia kwa kelele za shangwe.