Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Siku hiyo watasema:

      “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu!+

      Tumemtumaini yeye,+

      Naye atatuokoa.+

      Huyu ndiye Yehova!

      Tumemtumaini yeye.

      Na tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+

  • Sefania 3:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Siku hiyo jiji la Yerusalemu litaambiwa:

      “Usiogope, Ee Sayuni.+

      Usilegeze mikono yako.

      17 Yehova Mungu wako yuko katikati yako.+

      Akiwa Mwenye nguvu, ataokoa.

      Atakushangilia kwa shangwe kubwa.+

      Atakaa kimya* katika upendo wake.

      Atakushangilia kwa kelele za shangwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki