Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Umesikia mambo ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza.+ Je, ni wewe peke yako utakayeokolewa? 12 Je, miungu ya mataifa yaliyoangamizwa na mababu zangu iliyaokoa mataifa hayo? Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni waliokuwa Tel-asari wako wapi?

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ni mungu gani kati ya miungu yote ya mataifa hayo ambayo mababu zangu waliiangamiza aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka mikononi mwangu, hivi kwamba Mungu wenu aweze kuwaokoa ninyi kutoka mikononi mwangu?+

  • Isaya 37:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Umesikia mambo ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza.+ Je, ni wewe peke yako utakayeokolewa? 12 Je, miungu ya mataifa yaliyoangamizwa na mababu zangu iliyaokoa mataifa hayo?+ Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni waliokuwa Tel-asari wako wapi?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki