Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mfalme wa Ashuru aliivamia nchi nzima, naye akaja Samaria na kulizingira kwa miaka mitatu. 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui yale ambayo mimi na mababu zangu tuliyatendea mataifa yote ya nchi mbalimbali?+ Je, miungu ya mataifa ya nchi hizo iliweza kuwaokoa kutoka mikononi mwangu?+

  • Isaya 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, sitaitendea pia Yerusalemu na sanamu zake

      Kama vile nilivyoitendea Samaria na miungu yake ya ubatili?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki