Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu salama.* (Sela) Isaya 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+
13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+