1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova huua, naye huhifadhi uhai;*Hushusha Kaburini,* naye hufufua.+ Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ Zaburi 71:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ingawa umenifanya nipate taabu nyingi na misiba mingi,+Nihuishe tena;Niinue kutoka katika sehemu zenye kina za* dunia.+
20 Ingawa umenifanya nipate taabu nyingi na misiba mingi,+Nihuishe tena;Niinue kutoka katika sehemu zenye kina za* dunia.+