Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Siku hiyo watasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu!+ Tumemtumaini yeye,+Naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova! Tumemtumaini yeye. Na tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
9 Siku hiyo watasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu!+ Tumemtumaini yeye,+Naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova! Tumemtumaini yeye. Na tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+