Nehemia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akarekebisha mbele ya Nguzo ya Kutegemeza Ukuta na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,*+ upande wa juu wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+ Yeremia 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema: Yeremia 38:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa, Yeremia alikaa katika Ua wa Walinzi;+ bado alikuwa humo Yerusalemu lilipotekwa.+
25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akarekebisha mbele ya Nguzo ya Kutegemeza Ukuta na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,*+ upande wa juu wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema:
28 Mpaka siku ambayo Yerusalemu lilitekwa, Yeremia alikaa katika Ua wa Walinzi;+ bado alikuwa humo Yerusalemu lilipotekwa.+