Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ninakufanya kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa.+

      Kwa hakika watapigana nawe,

      Lakini hawatakushinda,+

      Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili nikuokoe na kukukomboa,” asema Yehova.

  • Yeremia 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yakizingira Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika Ua wa Walinzi+ katika nyumba ya* mfalme wa Yuda.

  • Yeremia 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Neno la Yehova likamjia Yeremia mara ya pili, alipokuwa bado amezuiliwa katika Ua wa Walinzi,+ na kusema:

  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.

  • Yeremia 39:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Nebuzaradani mkuu wa walinzi, Nebushazbani yule Rabsarisi,* Nergal-shareza yule Rabmagi,* na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakawatuma watu 14 wamtoe Yeremia katika Ua wa Walinzi+ na kumkabidhi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe nyumbani kwake. Basi akaishi pamoja na watu wengine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki