21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa amri, kisha wakamtia Yeremia kifungoni katika Ua wa Walinzi;+ wakampa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji,+ mpaka mkate wote ulipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+