25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akarekebisha mbele ya Nguzo ya Kutegemeza Ukuta na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,*+ upande wa juu wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
2 Wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yakizingira Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika Ua wa Walinzi+ katika nyumba ya* mfalme wa Yuda.
21 Basi Mfalme Sedekia akaamuru Yeremia awekwe kifungoni katika Ua wa Walinzi,+ naye alipewa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji+ mpaka mikate yote ilipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.