Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu. Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+